Entries by Fabien Coutret

The Race

Sadly, today, many Christians who acknowledge the existence of the Five-fold Ministry fail to recognise its relevance or understand its application for the Church. Everything written in the New Testament about these different ministries working together to build up the Church will always apply as long as the Church is on earth. The same Spirit, who moved when the Church began, is still at work today. Jesus has not changed.

A Nova Aliança

Vamos reconhecer que a Igreja se desviou um pouco da sã doutrina, com o efeito resultante na vida do povo de Deus. É hora de abordar algumas questões importantes, de modo que os cristãos possam perceber que o Senhor tem coisas melhores guardadas para eles, para que possam caminhar na liberdade e na vitória!

Changamoto ya Msalaba

Hebu sote tukubaliane ya kwamba kwa namna moja au nyingine Kanisa limeliacha fundisho la uzima, na matokeo yake yanaonekana katika maisha ya watu wa Mungu. Umefika wakati tuyazungumzie mambo fulani ya msingi waziwazi, ili Wakristo watambue ya kwamba Bwana ana mambo mazuri zaidi kwa ajili yao, makusudi watembee katika uhuru na katika ushindi!

La course

Pourquoi tant de croyants tombent-ils sur le bord du chemin et abandonnent-ils la course de la foi ? Pourquoi tant de fidèles quittent-ils leur église, déçus et découragés ?
Dans cet ouvrage, le pasteur Miki Hardy décrit les obstacles qui se dressent devant chaque croyant. Il explique comment relever ces défis et en être victorieux.
Il rappelle le plan divin de restauration pour tous ceux qui ont baissé les bras, apportant des conseils scripturaires solides pour encourager chacun d’entre eux à reprendre la course et remporter le prix.

Agano Jipya

Utukufu wa Agano Jipya unayagusa maisha ya kila mtu aliyezaliwa mara ya pili. Yesu Kristo alipokufa na kufufuka kutoka kwa wafu, Sheria iliondolewa na tukafanyika watu huru, tunaoishi chini ya neema! Hatufungwi tena na kanuni na sheria kwa kuwa tumeingia katika uhusiano mpya kabisa na Mungu, tukiwezeshwa kuingia moja kwa moja mbele zake na kumtumikia kutoka ndani ya mioyo yetu.

The Challenge of the Cross

Christians may believe that the Bible is the inspired Word of God, acknowledge Jesus as their Lord and Saviour and sincerely desire to serve Him. Yet, have they fully grasped that we are called to take up our cross
daily and follow Him; to identify our lives with His death, His suffering and His resurrection, as He Himself commanded us?

A Igreja Precisa de Saber

Vamos reconhecer que a Igreja se desviou um pouco da sã doutrina, com o efeito resultante na vida do povo de Deus. É hora de abordar algumas questões importantes, de modo que os cristãos possam perceber que o Senhor tem coisas melhores guardadas para eles, para que possam caminhar na liberdade e na vitória!

Huduma Tano

Inasikitisha kuona Wakristo wengi wanaokiri uwepo wa Huduma Tano wakishindwa kuuona umuhimu wake au hata kuelewa namna hizi huduma zinavyopaswa kulihudumia Kanisa. Wengine wanapatwa na wasiwasi juu ya athari zake kwa huduma zao binafsi na wanaamua kuzifumbia macho. Lakini, pasipo kujali Imani ya mtu mmoja mmoja, ni wazi hakuna Mkristo mkweli atakayesema ya kwamba vipawa ambavyo Yesu anatoa kwa wanadamu katika kuliongoza na kuliandaa Kanisa lake vilikuwa ni kwa ajili ya Kanisa la Mwanzo tu. Kila kitu kilichoandikwa kwenye Agano Jipya kuhusu utendaji wa hizi huduma tofauti katika kulijenga Kanisa litahusika maadamu Kanisa lidumupo duniani. Roho yule yule aliyekuwepo wakati Kanisa linaanza, bado yuko kazini hata leo. Yesu hajabadilika.

Kanisa Linahitaji Kujua

Hebu sote tukubaliane ya kwamba kwa namna moja au nyingine Kanisa limeliacha fundisho la uzima, na matokeo yake yanaonekana katika maisha ya watu wa Mungu. Umefika wakati tuyazungumzie mambo fulani ya msingi waziwazi, ili Wakristo watambue ya kwamba Bwana ana mambo mazuri zaidi kwa ajili yao, makusudi watembee katika uhuru na katika ushindi!