KANISA LINAHITAJI KUJUA

Hebu sote tukubaliane ya kwamba kwa namna moja au nyingine Kanisa limeliacha fundisho la uzima, na matokeo yake yanaonekana katika maisha ya watu wa Mungu. Umefika wakati tuyazungumzie mambo fulani ya msingi waziwazi, ili Wakristo watambue ya kwamba Bwana ana mambo mazuri zaidi kwa ajili yao, makusudi watembee katika uhuru na katika ushindi!

ÉGALEMENT DISPONIBLE